Matangazo ya Usharika tarehe 9 Febuari 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 09 FEBRUARI, 2025  

SIKU YA BWANA YA MWISHO KATIKA MAJIRA YA UFUNUO

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI  

UTUKUFU WA MWANA WA MUNGU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Mgeni aliotufikia kwa cheti ni Emmanuel Hiyob Metili toka Usharika wa Ilboru Mtaa wa kati Arusha. Amekuja kwenye Matibabu.  

3. Matoleo ya Tarehe 02/02/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

Matangazo ya Usharika tarehe 2 Febuari 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 02 FEBRUARI, 2025  

SIKU YA BWANA YA 4 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO

NENO LINALOTUONGOZA NI

MUNGU NI MLINZI WETU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia kwa cheti: ili tuwakaribishe.

3. Matoleo ya Tarehe 26/01/2025

4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT