Matangazo ya Usharika tarehe 23 Febuari 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 23 FEBRUARI, 2025 

SIKU YA BWANA YA 8 KABLA YA PASAKA

NENO LINALOTUONGOZA SIKU NI  

NENO LA MUNGU NI SILAHA IMARA

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Mgeni aliyetufikia na cheti ni Twijisye-Santembe toka usharika wa Lukasi Dayosisi ya Konde. Amekuja kwenye matibabu. Kama kuna wageni ambao ni mara yao ya kwanza kushiriki nasi wasimame ili tuwakaribishe.

3. Matoleo ya Tarehe 16/02/2025

Matangazo ya Usharika tarehe 9 Febuari 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 09 FEBRUARI, 2025  

SIKU YA BWANA YA MWISHO KATIKA MAJIRA YA UFUNUO

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI  

UTUKUFU WA MWANA WA MUNGU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Mgeni aliotufikia kwa cheti ni Emmanuel Hiyob Metili toka Usharika wa Ilboru Mtaa wa kati Arusha. Amekuja kwenye Matibabu.  

3. Matoleo ya Tarehe 02/02/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.