-
Matangazo ya Usharika tarehe 23 Febuari 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 23 FEBRUARI, 2025
SIKU YA BWANA YA 8 KABLA YA PASAKA
NENO LINALOTUONGOZA SIKU NI
NENO LA MUNGU NI SILAHA IMARA
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Mgeni aliyetufikia na cheti ni Twijisye-Santembe toka usharika wa Lukasi Dayosisi ya Konde. Amekuja kwenye matibabu. Kama kuna wageni ambao ni mara yao ya kwanza kushiriki nasi wasimame ili tuwakaribishe.
3. Matoleo ya Tarehe 16/02/2025
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Matangazo ya Usharika tarehe 9 Febuari 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 09 FEBRUARI, 2025
SIKU YA BWANA YA MWISHO KATIKA MAJIRA YA UFUNUO
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI
UTUKUFU WA MWANA WA MUNGU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Mgeni aliotufikia kwa cheti ni Emmanuel Hiyob Metili toka Usharika wa Ilboru Mtaa wa kati Arusha. Amekuja kwenye Matibabu.
3. Matoleo ya Tarehe 02/02/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
- 1 of 2
- next ›