Matangazo ya Usharika tarehe 24 Disemba 2023

MATANGAZO YA USHARIKA 

TAREHE 24 DISEMBA, 2023

SIKU YA BWANA YA 4 KATIKA MAJILIO

NENO LINALOTUONGOZA NI

BWANA YU KARIBU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 17/12/2023

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Matangazo ya Usharika tarehe 10/12/2023

MATANGAZO YA USHARIKA 

LEO TAREHE 10 DISEMBA, 2023

SIKU YA BWANA YA 2 KATIKA MAJILIO

NENO LINALOTUONGOZA NI

YESU ANAKUJA KATIKA UTUKUFU WAKE

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 03/12/2023

4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO: