Matangazo ya usharika tarehe 21 Septemba 2025

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 21 SEPTEMBA, 2025

SIKU YA BWANA YA 14 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

TUNAITWA KUWA MAWAKILI WA MUNGU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti. Kama kuna wageni ambao ni mara yao ya kwanza kushiriki nasi wasimame ili tuwakaribishe.

3. Matoleo ya Tarehe 14/09/2025  

Matangazo ya Usharika tarehe 14 Septemba 2025

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 14 SEPTEMBA, 2025

SIKU YA BWANA YA 13 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI

MTENDEE MEMA JIRANI YAKO

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti. Kama kuna wageni ambao ni mara yao ya kwanza kushiriki nasi wasimame ili tuwakaribishe.

3. Matoleo ya Tarehe 07/09/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.