Matangazo ya Usharika tarehe 26 Januari 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 26 JANUARI, 2025  

SIKU YA BWANA YA 3 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO

NENO LINALOTUONGOZA NI  

MUNGU HANA UPENDELEO

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia kwa cheti: 

3. Matoleo ya Tarehe 19/01/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Matangazo ya Usharika tarehe 19 Januari 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 19 JANUARI, 2025

SIKU YA BWANA YA 2 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO

NENO LINALOTUONGOZA NI  

MUNGU HUBARIKI NYUMBA ZETU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia kwa cheti: 

3. Matoleo ya Tarehe 12/01/2025

4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Matangazo ya Usharika tarehe 12 Januari 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 12 JANUARI, 2025

SIKU YA BWANA YA 1 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO.

 NENO LINALOTUONGOZA NI 

WABATIZWAO NI WARITHI WA UZIMA WA MILELE

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Mgeni waliotufikia kwa cheti Joseph Jackson Mutakumwa toka Usharika wa Moshono Arusha. 

3. Matoleo ya Tarehe 5/01/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO: