Matangazo ya Usharika tarehe 12 Januari 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 12 JANUARI, 2025

SIKU YA BWANA YA 1 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO.

 NENO LINALOTUONGOZA NI 

WABATIZWAO NI WARITHI WA UZIMA WA MILELE

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Mgeni waliotufikia kwa cheti Joseph Jackson Mutakumwa toka Usharika wa Moshono Arusha. 

3. Matoleo ya Tarehe 5/01/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

Matangazo ya Usharika tarehe 5 Januari 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 05 JANUARI, 2025

SIKU YA BWANA YA 2 BAADA YA KUZALIWA KWA BWANA YESU KRISTO.

NENO LINALOTUONGOZA NI  

UWEZA WA MUNGU WAJIDHIHIRISHA KATIKA YESU KRISTO

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna Wageni waliotufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 29/12/2024

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT