-
-
Matangazo ya Usharika tarehe 26 Januari 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 26 JANUARI, 2025
SIKU YA BWANA YA 3 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO
NENO LINALOTUONGOZA NI
MUNGU HANA UPENDELEO
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia kwa cheti:
3. Matoleo ya Tarehe 19/01/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
-
-
-
-
Matangazo ya Usharika tarehe 19 Januari 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 19 JANUARI, 2025
SIKU YA BWANA YA 2 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO
NENO LINALOTUONGOZA NI
MUNGU HUBARIKI NYUMBA ZETU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia kwa cheti:
3. Matoleo ya Tarehe 12/01/2025
4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
-
-
-
Matangazo ya Usharika tarehe 12 Januari 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 12 JANUARI, 2025
SIKU YA BWANA YA 1 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO.
NENO LINALOTUONGOZA NI
WABATIZWAO NI WARITHI WA UZIMA WA MILELE
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Mgeni waliotufikia kwa cheti Joseph Jackson Mutakumwa toka Usharika wa Moshono Arusha.
3. Matoleo ya Tarehe 5/01/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
-
-
- 1 of 2
- next ›