Matangazo ya Usharika tarehe 12 Januari 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 12 JANUARI, 2025
SIKU YA BWANA YA 1 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO.
NENO LINALOTUONGOZA NI
WABATIZWAO NI WARITHI WA UZIMA WA MILELE
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Mgeni waliotufikia kwa cheti Joseph Jackson Mutakumwa toka Usharika wa Moshono Arusha.
3. Matoleo ya Tarehe 5/01/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO: