-
Mungu husikia maombi yetu. {Somo na Heri Buberwa}
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 01 JUNI, 2025
NENO LINALOTUONGOZA NI
MUNGU HUSIKIA MAOMBI YETU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna Wageni waliyeotufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 25/05/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
Lipa namba M-PESA – 5795794 – KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL