Matangazo ya Usharika tarehe 20 Julai 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 20 JULAI, 2025

SIKU YA BWANA YA 5 BAADA YA UTATU

 NENO LINALOTUONGOZA NI

TUDUMU KATIKA FUNDISHO LA KRISTO

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 13/07/2025

Jumla - Tshs 20,060,000/= USD 26/=    

MATOLEO KATIKATI YA WIKI 

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

Matangazo ya Usharika tarehe 13 Julai 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 13 JULAI, 2025

SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI

KIJANA MKRISTO NI CHACHU YA MAENDELEO

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 06/07/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT