Mungu mmoja; Baba, Mwana, na Roho mtakatifu./ Heri Buberwa
Hivi karibuni Kwaya ya Agape inayohudumu katika ibada ya Kiswahili kila Jumapili saa moja asubuhi katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front...
Usharika wa KKKT Kanisa Kuu Azania Front Cathedral tarehe 9 Aprili 2023 ulijumuika na wakristo wote ulimwenguni kusherehekea sikukuu ya Pasaka.
Katika ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral, 7 Aprili 2023 na kuongozwa na Baba Askofu wa...