Hii ni orodha ya Baraza Jipya la Wazee wa Kanisa wa Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral.

CHAPLAIN CHARLES MZINGA - Mwenyekiti

1. ZEBADIA MOSHI (ENG)

2. SIMON JENGO

3. CHARLES MKONYI (PROF)

Kamati ya Utendaji inaundwa na Wazee wenyeviti wa kamati zote na mwenyekiti wa baraza.
Inahusika na maswala ya Injili ndani na nje ya Usharika
Inasimamia maswala ya fedha Usharikani.
Inahusika na miradi ya uzalishaji usharika.
Inahusika kuendeleza malezi bora ya kikristo Usharikani
Inahusika na program za afya na maendeleo ya jamii usharikani.
Inahusika na shuhuli za majengo na viwanja vinavyohusiana na usharika, ndani na nje.
Inahusika na kuweka sawa mafarakano yoyote yatakayotokea usharikani.

Pages