Matangazo ya usharika tarehe 23 Novemba 2025

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 23 NOVEMBA, 2025

SIKU YA BWANA YA MWISHO KABLA YA MAJILIO

NENO LINALOTUONGOZA NI

UZIMA WA MILELE UPO KWA AJILI YAKO

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 16/11/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Sikukuu ya Mavuno 2025 | Azania Front Cathedral

Siku ya Jumapili, tarehe 26/10/2025, Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front uliadhimisha kilele cha Sikukuu ya Mavuno ya Mwaka 2025, maadhimisho ambayo hufanyika kila mwaka ili kutoa fursa kwa washarika kumtolea Mungu sehemu ya matunda au mavuno ya kazi walizozifanya kwa kipindi cha mwaka mzima.

Ibada ya kusherehekea sikukuu hii ya mavuno kwa mwaka huu imefanyika katika viwanja vya usharika wa Kanisa Kuu Azania Front ikihudhuiriwa na mamia ya washarika waliojitokeza wakiwa sadaka za mavuno tayari kwa kumtolea Mungu. 

Matangazo ya usharika tarehe 16 Novemba 2025

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 16 NOVEMBA, 2025

SIKU YA BWANA YA 2 KABLA YA MAJILIO

NENO LINALOTUONGOZA NI

JIANDAE KWA HUKUMU YA MWISHO

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 09/11/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT