Matangazo ya usharika tarehe 23 Novemba 2025
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 23 NOVEMBA, 2025
SIKU YA BWANA YA MWISHO KABLA YA MAJILIO
NENO LINALOTUONGOZA NI
UZIMA WA MILELE UPO KWA AJILI YAKO
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 16/11/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
-
-
-
-
-
Sikukuu ya Mavuno 2025 | Azania Front Cathedral
Siku ya Jumapili, tarehe 26/10/2025, Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front uliadhimisha kilele cha Sikukuu ya Mavuno ya Mwaka 2025, maadhimisho ambayo hufanyika kila mwaka ili kutoa fursa kwa washarika kumtolea Mungu sehemu ya matunda au mavuno ya kazi walizozifanya kwa kipindi cha mwaka mzima.
Ibada ya kusherehekea sikukuu hii ya mavuno kwa mwaka huu imefanyika katika viwanja vya usharika wa Kanisa Kuu Azania Front ikihudhuiriwa na mamia ya washarika waliojitokeza wakiwa sadaka za mavuno tayari kwa kumtolea Mungu.
Matangazo ya usharika tarehe 16 Novemba 2025
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 16 NOVEMBA, 2025
SIKU YA BWANA YA 2 KABLA YA MAJILIO
NENO LINALOTUONGOZA NI
JIANDAE KWA HUKUMU YA MWISHO
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 09/11/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
-
-
-
-
-
-
- 1 of 2
- next ›
