Matangazo ya usharika tarehe 5 Julai 2026

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI  

MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 05 JULAI, 2026 

SIKU YA BWANA YA 5 BAADA YA UTATU 

SIKUKUU YA VIJANA

NENO LINALOTUONGOZA LEO NI:

“KANISA NI MSINGI WA MALEZI BORA”

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Leo ni sikukuu ya vijana hivyo Ibada itaongozwa na Vijana.

3. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia na cheti: Kama kuna wageni ambao ni mara yao ya kwanza kushiriki nasi wasimame ili tuwakaribishe.

4. Matoleo ya Tarehe 28/06/2026