Matangazo ya Usharika tarehe 25 Agosti 2025

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 24 AGOSTI, 2025

SIKU YA BWANA YA 10 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI

HAKI HUINUA TAIFA

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 17/08/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Matangazo ya Usharika tarehe 17 Agosti 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 17 AGOSTI, 2025

SIKU YA BWANA YA 9 BAADA YA UTATU

 NENO LINALOTUONGOZA NI

TUENENDE KWA HEKIMA YA MUNGU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 10/08/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT