-
Yesu ni nuru ya ulimwengu. Somo na Heri Buberwa.
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 05 JANUARI, 2025
SIKU YA BWANA YA 2 BAADA YA KUZALIWA KWA BWANA YESU KRISTO.
NENO LINALOTUONGOZA NI
UWEZA WA MUNGU WAJIDHIHIRISHA KATIKA YESU KRISTO
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna Wageni waliotufikia kwa cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 29/12/2024
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT