Matangazo ya Usharika tarehe 20/11/2022

MATANGAZO YA USHARIKA

 LEO TAREHE 20 NOVEMBA, 2022    

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

UZIMA WA ULIMWENGU UJAO

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 13/11/2022

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Namba ya Wakala M-PESA – 5795794 – KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL