Matangazo ya Usharika tarehe 30/10/2022

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 30 OKTOBA, 2022    

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

MATENGENEZO YA KANISA, USHUHUDA WETU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 23/10/2022

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Baraza la Wazee wa Kanisa 2022 - 2026

Hii ni orodha ya Baraza Jipya la Wazee wa Kanisa wa Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral. Baraza hili jipya lenye jumla ya wajumbe 33 ambao wamepatikana baada ya kufanyika uchaguzi na hivyo wajumbe hao kupigiwa kura nyingi na washarika wa Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front mnamo mwezi Agosti 2022.

Kwa mujibu wa Katiba ya KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani pamoja na Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front, wajumbe hawa watahudumu kwa kipindi cha miaka minne kuanzia mwaka 2022 mpaka 2026.

Matangazo ya Usharika tarehe 23/10/2022

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 23 OKTOBA, 2022    

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

IMANI YAKO IMEKUPONYA

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 16/10/2022

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Namba ya Wakala M-PESA – 5795794 – KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL

Usharika Waadhimisha Sikukuu ya Mikael na Watoto 2022

Kama ilivyoainishwa katika kalenda ya KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Jumapili ya tarehe 2 Oktoba 2022 Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral uliadhimisha Sikukuu ya Mikael na Watoto.

Sikukuu ya Mikael na watoto hufanyika kila mwaka kwa ajili ya kumkumbuka malaika Mikel na watakatifu wote pamoja na watoto. Ibada hii hufanyika kwa kuongozwa na watoto wakisaidiana na walimu wao pamoja na mtumishi wa usharika (parish worker).

Matangazo ya Usharika tarehe 16 October 2022

 MATANGAZO YA USHARIKA

LEO TAREHE 16 OKTOBA, 2022    

NENO LINALOTUONGOZA NI

UPENDO WA KWELI WATOKA KWA MUNGU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 09/10/2022

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Namba ya Wakala M-PESA – 5795794 – KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL