Matangazo ya Usharika tarehe 21 Agosti 2022

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 21 AGOSTI, 2022

NENO LINALOTUONGOZA JUMA HILI NI

TUTUMIE VIZURI NAFASI TULIYOPEWA

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia na vyeti. 

3. Matoleo ya Tarehe 14/08/2022        

4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

5. NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT