-
Mungu ni mlinzi wetu. Somo na Heri Buberwa.
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 02 FEBRUARI, 2025
SIKU YA BWANA YA 4 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO
NENO LINALOTUONGOZA NI
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia kwa cheti: ili tuwakaribishe.
3. Matoleo ya Tarehe 26/01/2025
4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT