Event Date: 
16-05-2014

UFUNGUZI WA KANISA JIPYA CHAKECHAKE PEMBA, NA UZINDUZI WA USHARIKA WA NGERENGERE, MEI 2014

pemba00

Muonekano wa Kanisa jipya la Usharika wa Ngerengere, Chakechake Pemba

pemba01

Wachungaji wakizunguka jengo mara 3kabla ya ibada ya kukabidhi.

pemba1

Askofu A. Malasusa na Dean G. Fupe wakishiriki katika kukabidhi kanisa lililopo Chakechake Pemba

pemba2

Askofu Dr Alex Malasusa akiwa ameambatana na baadhi ya wachungaji katika ufunguzi wa Kanisa Chakechake Pemba

pemba4

Mchungaji mama P Chuwa na mama T msangi wakishiriki kukuabidhi kanisa

pemba5

Wachungaji na washarika wakiwa katika ibada ya Uzinduzi

pemba7

Dean Fupe (kati) akitoa salaam.

pemba6

Baadhi ya Wachungaji walioshiriki kukabidhi kanisa

pemba8

Katibu mkuu wa DMP, Balozi Mariki (wa pili kulia) na baadhi ya Washarika.

(Picha na habari zimeandaliwa na Jane Mhina)