Event Date: 
08-03-2015

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI, TAREHE 8/03/2015WAKINAMAMA WA AZANIAFRONT WALIONGOZA IBADA

 2015wamama waongoza ibada16 

Viongozi wa Wakinama (mbele) wanakwaya na wahudumu wa ibada wakielekea kanisani

 2015wamama waongoza ibada15

Viongozi na Wahubiri wakiingia kanisani

 2015wamama waongoza ibada23

Wahudumu wakiingia ibadani

 2015wamama waongoza ibada09  

Mama Aida mwakisu (kati) akisoma Litujia Ibadani

 2015wamama waongoza ibada02

Kwaya ya Agape wakiimba Ibadani

dsc 0583 medium

 2015wamama waongoza ibada05

Kikundi cha matarumbeta wakiwa ibadani

 2015wamama waongoza ibada11

Mwalimu wa kikundi cha matarumbeta, Simon Jengo, akiongoza wimbo

 2015wamama waongoza ibada10

Mama Grace Jengo akihubiri

 2015wamama waongoza ibada06

Kwaya ya upendo wakiimba

 2015wamama waongoza ibada01

Katibu wa umoja wa wanawake (kulia) mama Theudas Msangi akifuatilia Ibada

 2015wamama waongoza ibada13

Mwenyekiti wa umoja wa wanawake wa Azania Front Mama Apaisaria Kilewo (kati) akiimba na kwaya ya Upendo Ibadani

 2015wamama waongoza ibada25

Baadhi ya Washarika wakiwa katika ibada

 2015wamama waongoza ibada12

Mwekaazina wa umoja wa wanawake Mama Elly Swai (Kulia) akiwa ibadani

 2015wamama waongoza ibada14

Parish worker Mama Fedilia Urasa akitoa matangazo ibadani

 2015wamama waongoza ibada04

Kwaya ya kinamama wakiwa nje ya kanisa

 2015wamama waongoza ibada08

 2015wamama waongoza ibada20

Vongozi na wahubiri wa wanawake wakiwa nje wakifunga ibada

 2015wamama waongoza ibada22

Wahubiri wakiimba kwa kufunga Ibada

 2015wamama waongoza ibada19

Viongozi wa wanawake wakifunga ibada

 2015wamama waongoza ibada17

Viongozi wa umoja wa wanawake wakifunga Ibada

Angalia picha nyingine hapa......

(Picha na habari na Jane Mhina)