Event Date: 
24-02-2021

Usharika wa KKKT Kanisa Kuu Azaniafront Cathedral unawakaribisha watu wote katika ibada zake za kila siku za Jumapili, pamoja na ibada za katikati ya wiki. 

Usharika unawakumbusha washarika pia kuchukua tahadhari za Covid-19 wawapo kanisani.

Pia washarika wanaweza kushiriki katika ibada zote zinazofanyika usharikani wakiwa popote duniani kupitia chaneli ya Youtube ya AZANIAFRONT TV. Ibada zote zinakuwa LIVE.

Mungu awabariki wote.