Siku ya Wanawake Duniani: Washarika Waaswa Kufanya Maombi Kushinda Majaribu

Siku ya Jumapili, Machi 9, 2025 ilifanyika ibada ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front. Ibada za aina hii hufanyika kila Jumapili ya kwanza ya mwezi Machi kila mwaka ili kutoa fursa kwa wanawake kuongoza matukio na huduma zote za ibada. 

Akizungumza katika ibada hiyo, Mama Anna Mzinga (mhubiri wa siku), aliwapongeza wanawake na washarika wote kwa kufanikisha kufanyika kwa ibada hizo. Mama Mzinga alisoma neno la siku kutoka katika kitabu cha Luka 22: 40 – 46; Somo: Mungu Hutuwezesha Kushinda Majaribu.

Matangazo ya Usharika tarehe 2 Machi 2025

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 02 MACHI, 2025  

SIKU YA BWANA YA 7 KABLA YA PASAKA

NENO LINALOTUONGOZA NI

YESU ANAYAENDEA MATESO YERUSALEMU

1​​. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia na cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 23/02/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO: