Ratiba ya Ibada za Sikukuu ya Pasaka 2025
Hii hapa Ratiba ya Ibada za Sikukuu ya Pasaka 2025 kama ambavyo zitafanyika katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral.
Washarika, wageni na wananchi wote kwa ujumla mnakaribishwa kujumuika nasi ili tumtukuze Mungu kwa pamoja katika Sikukuu hii muhimu ya Kuteswa, Kufa, Kuzikwa na Kufufuka kwa Bwana Wetu Yesu Kristo.
Wote mnakaribishwa!
Matangazo ya Usharika tarehe 13/04/2025
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 13 APRILI, 2025
SIKU YA MITENDE
NENO LINALOTUONGOZA NI TUMSHANGILIE BWANA
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 06/04/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
-
-
-
-
-
-
-
- ‹ previous
- 2 of 2