Proverbs 18:10 NIV (Mithali 18:10)
28-09-2017
Our God is almighty. He is in all places and He knows all things. Mungu anajua kila kitu na anaona kila kitu. { By Pr. P Chuwa}
Acts 6:1-6 NIV (Matendo 6:1-6)
27-09-2017
In the church we need people with different gifts and abilities. Each one is important. Let us pray for one another and work together in harmony for the common good. Katika kanisa tunao watu wenye vipawa na huduma mbalimbali. Sote ni muhimu. Tufanyakazi pamoja kwa kushirikiana. {By Pr. Chuwa}
1 Samuel 12:8-15 NIV
26-09-2017
Are we are truly loving and obeying God? Je tunampenda Mungu kwa dhati na kufuata amri zake? {By Pr. P Chuwa}
Proverbs 12:5-9 NIV (Mithali 12:5-9)
25-09-2017
The book of Proverbs is a good source of guidance of life that is successful and pleasing to God. Kitabu cha Methali ni chanzo kizuri cha mwongozo wa maisha ya mafanikio na yanayompendeza Mungu. {By Pr P Chuwa}
Luke 2:22-24 NIV (Luka 2:22-24)
23-09-2017
Let us be faithful in obeying God’s laws and giving our offerings and tithes to Him.. Tunapaswa kuwa waaminifu katika kumtolea Mungu zaka na sadaka. {By Pr. P Chuwa}
Exodus 35:20-29 NIV (Kutoka 35:20-29)
22-09-2017
Its good to give good offerings to God...Ni vyema kumtolea Mungu vilivyo bora {By Pr. P. Chuwa}
Ezra 2:64-70 NIV
21-09-2017
Do we give our offerings willingly? Je tunamtolea Mungu kwa moyo wa kupenda? {By Pr. P. Chuwa}
Acts 9:36-43 NIV ( Matendo 9:36-43)
20-09-2017
Use your God given talents to serve others..Tumia karama ulizojaliwa na Mungu kubariki wengine. {By Pr. P Chuwa}
Deuteronomy 26: 12 - 15 NIV (Kumb 26:12-15)
19-09-2017
It pleases God when we share our blessings with others....Inampendeza Mungu tukitumia alivyotupa kubariki wengine.
2 Thessalonians 3:6-15 NIV ( Thesalonike 3:6-15)
18-09-2017
Christians are called to work hard and to support their own lives. Wakristo wanaaswa kufanya kazi kwa bidii na kujitegemea.

Pages