Mark 6:1-6 (NIV)
27-04-2017
Do we really understand who Jesus is? Wewe Je! Unamwelewa Yesu vizuri? Ni nani kwako? {By Pastor P. Chuwa}
1 Corinthians 15:12-19 New International Version (NIV)
26-04-2017
Praise the Lord Jesus is risen. We who trust in Him will live forever in heaven...Yesu Kristo kweli alifufuka, na sisi ambao tunamtegemea tutafufuka na kuishi maisha ya milele mbinguni. {By Pastor P. Chuwa}
Joshua 1:1-7 (NIV)
25-04-2017
God calls different people to fulfill His purposes. Mungu anawaita watu mbalimbali kila mtu kwa wakati wake na kwa nafasi yake. {By Pastor P. Chuwa}
Isaiah 33:13-24 (NIV)
24-04-2017
Let us not take sin lightly. Let us turn from evil. .Tusifikiri Mungu haoni dhambi. Tuache maovu na tuwe na matendo mema...{By Pastor P. Chuwa}
Psalm 115:1-10, 1 Corinthians 15:12-19, John 20:26-29 (NIV)
23-04-2017
We have not seen Him with our physical eyes but we believe. Jesus says we are blessed...Sisi tunamwamini Yesu Kristo bila kumwona kwa macho ya binadamu.Yesu anasema tuna heri. {By Pastor P. Chuwa}
Isaiah 45:5-8 (NIV)
22-04-2017
Through the death and resurrection of Jesus our sins can be forgiven and we can have peace with God...Kupitia kifo na kufufuka wa Yesu Kristo, tunaweza kuokolewa...{By Pastor P. Chuwa}
Isaiah 26:16-19 (NIV)
21-04-2017
God will hear our prayers. He will have compassion upon us..Mungu ni mwenye huruma. Mungu anatujali na anasikiliza maombi yetu. {By Pastor P. Chuwa}
Hebrews 4:14-16 (NIV)
20-04-2017
Through the death and resurrection of Jesus Christ we have free access to God...Kwa njia ya Kufa na Kufufuka kwake Yesu Kristo, alifungulia njia ya kumkaribia Mungu. {By Pastor P.Chuwa}
Matthew 28:11-15 (NIV)
19-04-2017
Many people have tried to disprove the resurrection of Jesus Christ. But there is much strong evidence that it is true...Mpaka leo watu wengi wanakanusha ukweli wa ufufuo. Lakini kuna ushahidi wa kutosha kwamba Yesu ndiye alifufuka kama mshindi. {By Pastor Chuwa}
Isaiah 25:9-10 (New International Version)
18-04-2017
Let us continue to trust in God every day. ..Tuendelea kumtegemea Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yetu. {By Pastor P Chuwa}

Pages