2 Wakorintho 4:8-10 {2 Corinthians 4:8-10}
19-06-2017
Yesu hakupata kushindwa wala hana mpango wa sisi tushindwe maishani. Jesus was never defeated and He has not planned for us to be defeated...{ By S. Jengo, Elder}
1 Wakorintho 12:11-13 {1 Corinthians 12:11-13}
16-06-2017
Hakuna Roho Mtakatifu wengi, ni mmoja tu.....yule aliyebeba nguvu halisi za Mungu..There are not two, three or five Spirits, there is only one! That is the Holy Spirit....one true anointing of God..{By S. Jengo, Elder}
1 Wakorintho 2:9 {1 Corinthians 2:9}
12-06-2017
Sasa ni wakati wetu wa kuvuna, ni wakati mzuri wa kila mtu kupata upenyo katika ulimwengu wa kiroho - It is harvest time! It is a dynamic, new breakthrough in the spirit world {By S.Jengo, Elder}
Marko 2:1-5 {Mark 2:1-5}
11-06-2017
Mwiite Mungu leo, asikie hamu na shauku  uliyo nayo juu yake ndani ya sauti yako..Cry out to God today and let Him hear the desperation in your voice and see it in your action.{By S. Jengo, Elder}
MARKO  3:14-15 {MARK 3:14-15}
10-06-2017
Anaowatafuta ni wale walio wanafunzi, yaani wale ambao wamemwamini na kumkubali Yesu Kristo na kujitoa kuitenda kazi yake pote walipo...Disciples are those who believe in, accept and take it upon themselves to spread the Gospel of Jesus Christ wherever they are.,{By S. Jengo, Elder}
2 Wakorintho 1:3-10 {2Corinthians 1:3-10}
08-06-2017
Je unapita katika gumu lolote? Una uchungu ndani yako na hakuna awezaye kukufariji? Mgeukie Roho Mtakatifu naye atakupa faraja isiyokwisha katika Jina la Yesu!..Are you so sorrowful that all human attempts at comforting you have failed? The Holy Spirit will reach out and comfort You today, in the name Jesus..{By S. Jengo, Elder}
Matendo 8:26-38 {Acts 8:26-38}
07-06-2017
Unataka Mungu akusaidie! Mungu anatafuta watu walio tayari kutii! ..Are you seeking God! God wants to help us, but He is looking for those who can say "Yes Lord"..{By S. Jengo, Elder}
Psalm 77:11-20, John 4:22-26, Joel 2:28-32 (NIV)
03-06-2017
Today we remember the coming of The Holy Spirit upon the disciples giving them power to preach and evangelize...Leo ni Siku ya Pentekoste. Tunakumbuka jinsi Roho Mtakatifu alishukia wanafunzi kuwawezesha kumshuhudia Yesu...{By Pr. Chuwa}
Matthew 17:14-18 (NIV)
03-06-2017
We can not see Jesus with our physical eyes but through the Holy Spirit Jesus is everywhere..Hatumwoni Yesu kwa macho ya binadamu lakini yupo. Kwa njia ya Roho Mtakatifu Yesu yupo kila mahali .{By Pr. P Chuwa}
DANIEL 9:4-9
02-06-2017
It is good to begin our prayers with praise to God and confessing our sins..Sisi tunapaswa kuanza sala zetu na toba na kumsifu Mungu..{By Pr Chuwa)

Pages