Romans 8:1-4 NIV ( Warumi 8:1-4)
10-10-2017
Jesus Christ gave his life on the cross so we can be truly free...Yesu Kristo alitoa maisha yake msalabani ili tuwe huru kweli.
Acts 15:19-22 NIV (Matendo 15:19-22)
09-10-2017
To be in Christ is to be truly free....Kuwa na Yesu nadni yako ni kuwa huru kweli kweli. { By Pr. Mwaipopo}
Proverbs 3:6-8 NIV (Mithali 3:6-8)
07-10-2017
Begin and end everything with God...Anza na maliza kila kitu na Mungu. {By Pr. Mwaipopo}
1 Samuel 1:21-25 NIV
06-10-2017
Parents and guardians have to lend their children to God as long as they live...ni wajibu wa wazazi na walezi kuwaachilia watoto wao ili Mungu awatumie wakati wa uhai wao wote. {By Pr. Mwaipopo}
Judges 13:8-9 NIV ( Waamuzi 13:8-9)
05-10-2017
God's guidance is required in nurturing our children in righteousness. Tunahitaji msaada wa Mungu kuwalea watoto wetu katika njia ipasayo. {By C.Swai, Elder}
Ephesians 6:1-4 NIV (Waefeso 6:1-4)
04-10-2017
It is right for children to respect their parents...Ni haki watoto kuwaheshimu wazazi wao..{By C.Swai, Elder)
Proverbs 3:11-12 NIV (Mithali 3:11-12)
03-10-2017
When God punishes his people, it's because he loves them. Mungu anapowaadhibu watu wake, ni kwa sababu anawapenda.
Proverbs 4:13 NIV (Mithali 4:13)
02-10-2017
The word of God reminds us of the importance of education. ..Neno la Mungu linatukumbusha umuhimu wa elimu.
2 Kings 19:8-10 NIV (2 Wafalme 19:8-10)
29-09-2017
Listen to God's guidance through his word. Tufuate mwongozo wa Mungu wetu kupitia neno lake.
Proverbs 18:10 NIV (Mithali 18:10)
28-09-2017
Our God is almighty. He is in all places and He knows all things. Mungu anajua kila kitu na anaona kila kitu. { By Pr. P Chuwa}

Pages