Luke 20:18-26 NIV (Luka 20:18-26)
19-08-2017
Pharisees and Jewish leaders found Jesus' teachings difficult, what about you? Are you willing to trust his teachings?..Mafarisayo na viongozi wa kiyahudi hawayakubali mafundisho ya Yesu, wew je? Unakubali na kuamini mafundisho yake?...{By Pr. P. Chuwa}
Acts 5:34-42 NIV ( Matendo 5:34-42)
18-08-2017
As Christians, we are called to be good Ambassadors of Jesus Christ in the way we live. Kama Wakristo, tunatakiwa kuwa mabalozi wema wa Yesu Kristo kwa jinsi tunavyoishi.. {By Pr. P. Chuwa}
Hebrews 12:7-13 NIV (Waebrania 12:7-13)
17-08-2017
The aim of God’s discipline is to help us to change our attitudes and to give up sinful behavior. Makukusudi ya Mungu kutuadhibu ni ili tuache dhambi na kumrudia yeye...{By Pr. P Chuwa}
1 Timothy 6:6-10 NIV (1 TIMOTHEO 6:6-10)
16-08-2017
As Christians we should be careful about our attitudes towards money. Wakristo tunaaswa tuwe waangalifu katika mtazamo wetu kuhusu pesa...{By Pastor P. Chuwa}
Ecclesiastes 7:3-11 NIV (Mhubiri 7:3-11)
15-08-2017
As Christians we know that all true wisdom comes from God...Kama Wakristo tunafahamu kwamba hekima ya kweli inatoka kwa Mungu..{By Pr. P Chuwa}
Hosea 3:1-5 NIV
12-08-2017
Even though we rebel against God, HE still wan'ts to reconciliation..Mungu anatutafuta tutubu na kumrudia japo tunamwaasi mara kwa mara. {By Pr. P Chuwa}
Proverbs 28:13-14 NIV (Mithali 28:13-14)
11-08-2017
Confess and repent your sins and live to please God...Tubu dhambi zako na acha dhambi na uishi maisha ya kumpendeza Mungu. {By Pr. P Chuwa}
Ezekiel 33:10-20 NIV (Ezekieli 33:10-20)
10-08-2017
God is patient and Just..Mungu ni mwenye subira na haki..{By Pr. P. Chuwa}
Psalm 119:153-160, Luke 19:1-10, Judges 10:6-10 (Zaburi 119:153-160,  Luka 19:1-10, Waamuzi 10:6-10)
07-08-2017
Let us not wait to repent. As soon as you realize that you have sinned turn to God in repentance...Toba ni muhimu sana katika maisha yetu. Kila wakati uponaguswa kwamba umetenda dhambi tubu na uache...{By Pr P Chuwa}
Deuteronomy 7:12-18 NIV (KUMBUKUMBU LA TORATI 7:12-18)
04-08-2017
We cannot earn our salvation by works but only by trusting in Jesus Christ as our Lord and savior ..Hatuokolewi kwa njia ya matendo yetu bali kwa imani katika Yesu Kristo..{By Pr. P Chuwa}

Pages