You are my help and my deliverer; you are my God, do not delay. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, Ee Mungu wangu, usikawie.
1 Peter 3:13-17
11-03-2019
Be ready to suffer for doing good. Kuwa tayari kuteseka kwa kutenda mema. {C. Swai, Elder}
Mathew 9:9-17
08-03-2019
Jesus calls you as you are. Yesu anakuita jinsi ulivyo. {Elder C Swai}
Hebrews 4:6-10 (Waebrania 4:6-10)
07-03-2019
Today, if you hear his voice, do not harden your hearts. Leo, kama mtasikia sauti yake, msifanye mioyo yenu kuwa migumu. {Elder C Swai)
Mathew 9:7-17
06-03-2019
Jesus came to save us from our sins. Yesu alikuja kutukomboa kutoka katika dhambi. {Elder C. Swai}
Galatians 2:18-21
05-03-2019
We are saved by the Grace of God. Tunaokolewa kwa neema ya Mungu. {Elder C. Swai}
Matthew 13:1-9 (Mathayo 13:1-9)
27-02-2019
How much Good seed has been sown in your life? Has it grown to produce good fruits? Je, mbegu ngapi nzuri zimepandwa katika maisha yako? Je! zimekua na kuzaa matunda mema? {Pastor P Chuwa}
Daniel 4:31-34
26-02-2019
Give God the honour and worship which He alone deserves. Mpe Mungu heshima na utukufu ambao yeye pekee anastahili. { Pastor P Chuwa}
Acts 13:6-12 (Matendo 13:6-12)
25-02-2019
We should not be afraid of witchcraft but refuse all evil powers in the name of Jesus Christ. Tusiogope uchawi. Mungu ananguvu zaidi kuliko shetani na wachawi na nguvu zote za giza. Tumawamini na tumtegemee Yesu Kristo tu. {Pastor P Chuwa}
Judges 10:11-16 (Waamuzi 10:11-16)
22-02-2019
Let us not be rebellious but be ready to repent our sins and obey God. Tusiwe waasi bali tuwe tarari kutubu dhambi zetu na kumtii Mungu. {Pastor P. Chuwa}