Luke 11:9-13
16-05-2018
Let au persevere in prayer..Tuvumilie kwenye maombi. {Pastor P. Chuwa}
Daniel 9:20-23
15-05-2018
Remember to pray for others during your prayers....Kumbuka kuomba kwa ajili ya wengine unapokuwa kwenye maombi. {Pastor P Chuwa}
Ephesians 1:20-23 (Waefeso 1:20-23)
12-05-2018
Honor Christ daily in your life. Mheshimu Kristo kila siku katika maisha yako. {Pastor Prudence Chuwa}
Acts 1:9-12 (Matendo 1:9-12)
11-05-2018
Jesus is in heaven now. He will come again in glory to judge the living and the dead... Yesu yuko mbinguni sasa, na atarudi tena dunuani kwa utukufu kuwahukumu walio hai na wafu. {Pastor Prudence Chuwa}
John 16:23-24 (Yohana 16:23-24)
09-05-2018
Before praying, worship God. Kabla ya kuomba mwabudu Mungu. {Pastor P Chuwa}
Nehemiah 1:1-11
08-05-2018
Nehemiah prayed for his people, you too can pray for others. ..Nehemia aliomba kwa ajili ya watu wake, wewe pia unaweza kuomba kwa ajili ya watu wengine.
1 Thessalonians 5:16-22; (1Wathesalonike 5:16-22)
07-05-2018
Let us begin and end each day in prayer. Tuanze na tumalize kila siku kwa kuomba. {Pastor P Chuwa}
1 Peter 5:1-4 (1 Petro 5:1-4)
20-04-2018
Let us pray for all Church leaders to do their work faithfully. Waombee viongozi wote wa kanisa wafanye kazi yao kwa uaminifu. {Pastor P Chuwa}
Isaiah 43:1-7 (Isaya 43:1-7)
19-04-2018
God loves all who come to him through Jesus Christ..Mungu anawapenda wote wanaokuja kwake kwa njia ya Yesu Kristo. {Pastor P. Chuwa}
John 6:66-71 (Yohana 6:66-71)
11-04-2018
Do you truly know Jesus? Are you willing to follow Him? Je! Unamfahamu vizuri Yesu Kristo? Uko tayari kumfuata? {Pastor P Chuwa}

Pages