Matangazo ya Usharika tarehe 30 Julai 2023

MATANGAZO YA USHARIKA 

TAREHE 30 JULY, 2023

SIKU YA BWANA YA 8 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI 

WEMA WA MUNGU WATUVUTA TUPATE KUTUBU 

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 23/07/2023   

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

Matangazo ya Usharika tarehe 23 Julai 2023

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 23 JULY, 2023

SIKU YA BWANA YA 7 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI

UCHAGUZI WA BUSARA 

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 16/07/2023   

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT