-
-
Matango ya usharika tarehe 18 Januari 2026
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 18 JANUARI, 2026
SIKU YA BWANA YA 2 BAADA YA UFUNUO
NENO KUU: NYUMBA ZETU HUBARIKIWA NA MUNGU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 11/01/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
-
-
-
-
-
Matango ya usharika tarehe 11 Januari 2026
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 11 JANUARI, 2026
SIKU YA BWANA YA 1 BAADA YA UFUNUO
NENO LINALOTUONGOZA NI
UBATIZO WETU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 04/01/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
Lipa namba M-PESA – 5795794 – KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL
-
-
-
-
-
- 1 of 2
- next ›
