Matangazo ya Usharika tarehe 17 Agosti 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 17 AGOSTI, 2025

SIKU YA BWANA YA 9 BAADA YA UTATU

 NENO LINALOTUONGOZA NI

TUENENDE KWA HEKIMA YA MUNGU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 10/08/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT