-
Tuenende kwa hekima ya Mungu.{Somo na Heri Buberwa}
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 17 AGOSTI, 2025
SIKU YA BWANA YA 9 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA NI
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 10/08/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
MATANGAZO YA USHARIKA