-
-
Matangazo ya Usharika tarehe 13 Julai 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 13 JULAI, 2025
SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA NI
KIJANA MKRISTO NI CHACHU YA MAENDELEO
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 06/07/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
-
-
-
-
-
Matangazo ya Usharika tarehe 6 Julai 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 06 JULAI, 2025
SIKU YA BWANA YA 3 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA NI
TUHURUMIANE KATIKA KRISTO
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Mageni aliyetufikia na cheti ni Joseph Jackson Mutakumwa toka Dayosisi ya Kaskazini kati Usharika wa Moshono. Amekuja kwenye matibabu.
3. Matoleo ya Tarehe 29/06/2025
4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
-
-
-
-
Matangazo ya Usharika tarehe 29 Juni 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 29 JUNI, 2025
SIKU YA BWANA YA 2 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA NI
WITO WA KUINGIA UFALME WA MUNGU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna Wageni waliotufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 22/06/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
- 1 of 2
- next ›