Matangazo ya Usharika tarehe 13 Julai 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 13 JULAI, 2025

SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI

KIJANA MKRISTO NI CHACHU YA MAENDELEO

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 06/07/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Matangazo ya Usharika tarehe 6 Julai 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 06 JULAI, 2025

SIKU YA BWANA YA 3 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI  

TUHURUMIANE KATIKA KRISTO

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Mageni aliyetufikia na cheti ni Joseph Jackson Mutakumwa toka Dayosisi ya Kaskazini kati Usharika wa Moshono. Amekuja kwenye matibabu. 

3. Matoleo ya Tarehe 29/06/2025

4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

Matangazo ya Usharika tarehe 29 Juni 2025

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 29 JUNI, 2025

SIKU YA BWANA YA 2 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI  

WITO WA KUINGIA UFALME WA MUNGU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna Wageni waliotufikia na cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 22/06/2025

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT