Matangazo ya Usharika tarehe 29/09/2024

MATANGAZO YA USHARIKA  

TAREHE 29 SEPTEMBA, 2024

SIKU YA BWANA YA 8 BAADA YA UTATU 

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

TUWAJALI WATOTO WETU KATIKA BWANA 

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 22/09/2024

4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.