Matangazo ya usharika tarehe 28 Juni 2026
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 28 JUNI, 2026
SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA NI:
“TUMEITWA KUTENDA HAKI NA HURUMA”
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia na cheti:
3. Matoleo ya Tarehe 14/06/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
