Matangazo ya usharika tarehe 28 Juni 2026

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI  

MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 28 JUNI, 2026 

SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA UTATU 

NENO LINALOTUONGOZA NI:

“TUMEITWA KUTENDA HAKI NA HURUMA”

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia na cheti: 

3. Matoleo ya Tarehe 14/06/2026

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Matangazo ya usharika tarehe 21 Juni 2026

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI  

MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 21 JUNI, 2026 

SIKU YA BWANA YA 3 BAADA YA UTATU 

NENO LINALOTUONGOZA NI:

“PAMOJA TUJENGE KANISA LA BWANA”

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia na cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 14/06/2026

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Matangazo ya usharika tarehe 14 Juni 2026

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI  

MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 14 JUNI, 2026 

SIKU YA BWANA YA 2 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI:

“YESU NI MLANGO WA KUINGIA MBINGUNI”

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia na cheti: 

3. Matoleo ya Tarehe 07/06/2026

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT