Matangazo ya usharika tarehe 10 Mei 2026
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 10 MEI, 2026
SIKU YA BWANA YA 5 BAADA YA PASAKA
NENO LINALOTUONGOZA NI:
“IMETUPASA KUMWOMBA MUNGU SIKU ZOTE”
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 03/05/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
Yeremia 29:11-12 - 11-05-2026
Matendo ya Mitume 16:25-30 - 09-05-2026
Zaburi 30:1-4 - 07-05-2026
Ufunuo wa Yohana 15:2-4 - 06-05-2026
Kutoka 15:16-21 - 05-05-2026
Matangazo ya usharika tarehe 3 Mei 2027
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA YA TAREHE 3 Mei, 2026
SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA PASAKA
KANTATE DOMINO - MWIMBIENI BWANA WIMBO MPYA. NENO LINALOTUONGOZA NI:
“NJOONI TUMSIFU MUNGU WETU”
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 26/04/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
