Matangazo ya usharika tarehe 10 Mei 2026

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 10 MEI, 2026

SIKU YA BWANA YA 5 BAADA YA PASAKA

NENO LINALOTUONGOZA NI:

“IMETUPASA KUMWOMBA MUNGU SIKU ZOTE”

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 03/05/2026

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Matangazo ya usharika tarehe 3 Mei 2027

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA YA TAREHE 3 Mei, 2026

SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA PASAKA

KANTATE DOMINO - MWIMBIENI BWANA WIMBO MPYA. NENO LINALOTUONGOZA NI:

“NJOONI TUMSIFU MUNGU WETU”

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 26/04/2026

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO: