Deuteronomy 3:18-22
05-01-2017
God gave the Israeli people the Promised Land. The land was shared out among the 12 tribes...Mungu aliwapa Waisraeli nchi ya ahadi. Aligawa nchi hiyo kwa kabila 12 kila mmoja kwa eneo lake.
Philippians 3:13-16 (NIV)
04-01-2017
Let us not carry the burden of last year. In this New Year let us press towards our goal...Tusibebe tena mizigo ya mwaka jana. Tusonge mbele. Tukaze mwendo.
Nahum 1:2-8 (NIV)
03-01-2017
God is powerful. He is the one who created and sustains the world. ....Mungu ni mwenye nguvu. Mungu aliumba dunia na anatunza uumbaji wake wote.
Jeremiah 17:5-8 (NIV)
02-01-2017
We all want to be blessed and live fruitful and successful lives. Tunatamani sisi sote kubarikiwa na kupata furaha na mafanikio katika maisha yetu.
Sun 1st Jan: Psalm 44:1-8, Philippians 3:13-16, Luke 13:6-9 (NIV)
01-01-2017
As we start this New Year let us commit our lives to Jesus. Let us put God first...Tunapoanza mwaka mpya, tujikabidi kwa Yesu. Tutafute kufanya mapenzi ya Mungu katika kila kitu.
Sat 31st Dec: Psalm 68:28-35, Luke 17:11-19, Psalm 109:26-31(NIV)
31-12-2016
By the Grace of God we have come to the end of another year...Kwa neema ya Mungu tumefika mwisho mwa mwaka.
Fri 30th Dec: Matthew 2:7-12 (NIV)
30-12-2016
The Magi showed great honour to Christ. They went a long way to find Him. They worshipped Him though He was only a baby...Mamajusi walikuwa na bidii kumtafuta Kristo. Walisafiri kutoka mbali. Waliabudu na kumsujudu pamoja na alikuwa mtoto mdogo.
Thur 29th Dec: Acts 8:1-3 (NIV)
29-12-2016
After Stephen the First Christian Martyr was killed the church suffered great persecution...Baada ya kuuwawa kwa Stephano, Mfia dini Mkristo wa kwanza, kanisa lilipata mateso sana.
Wed 28th Dec: Matthew 10:29-33 (NIV)
28-12-2016
God made the world and He cares for all His creation. God loves us and we are precious to Him. ...Mungu aliumba ulimwengu na anatunza uumbaji wake. Mungu anapenda kila kiumbe na hasa sisi wanaadamu.
Tues 27th Dec: Matthew 2:19-23 (NIV)
27-12-2016
God spoke to Joseph to guide him in his life. God spoke to him through and angel and through a dream to guide and warn him. ..Mungu aliongea na Yusufu kumwongoza na kumwonya. Mungu alitumia malaika na ndoto pia.

Pages