1Samuel 3:15-21
08-07-2020
The result of sin and unbelief in others will fall on us if we do not warn them..Matokeo ya dhambi na kutoamini kwa wengine yatakuwa juu yetu ikiwa hatutachukua nafasi kuwaonya.../Pastor J Mlaki
Proverbs 2:6-7
07-07-2020
God is our shield and guard. Mungu ni ngao na mlinzi wetu.../Pastor J Mlaki.
1Timothy 1:18-20
06-07-2020
Fighting a good war means persevering in the faith. Kuvipiga vita vizuri ni kuvumilia na kudumu katika imani..?Pastor J Mlaki
Hosea 11:1-7
02-07-2020
God punishes his people for disobedience. Mungu huwaadhibu watu wake pale wanapoziacha njia zake.../Pastor J. Mlaki.
Acts 11:11-15
01-07-2020
Be good witnesses to what God had done for you. Uwe shaidi mwema wa mambo Mungu aliyokutendea.../Pastor J.Mlaki.
Exodus 13:13-14
30-06-2020
God can make a way where there seems to be no way. Mungu anaweza kutengeneza njia pasipo naa../Pastor J. Mlaki.
Deutoronomy 29:2-9
27-06-2020
Knowing the greatness and Power of God, brings us closer to him. Kujua ukuu na nguvu za Mungu kunatuleta karibu zaidi naye. ../Pastor J. Mlaki
1Corinthians 12:28-31
26-06-2020
We have to pursue with love, self-sacrificial service to others. Basi tufuate kwa upendo ili kupata karama ile ya kujitoa kwa ajili ya wengine.../Pastor J. Mlaki
2 Thesalonians 3:1-5
25-06-2020
Honour the word of God by obeying it. Heshimu neno la Mungu kwa kulitii..../Pastor J. Mlaki
Genesis 3:1-13
20-06-2020
Sin and shame breaks fellowship with God. Dhambi na aibu yake huvunja uhusiano wetu na Mungu. /Pastor J. Mlaki.

Pages