Luke 14:16-24
03-07-2019
Seek first the Kingdom of God. Tafuta kwanza Ufalme wa Mungu. {Pastor P Chuwa}
Acts 4:1-12 (Matendo 4:1-12)
01-07-2019
Let us trust in Jesus as our Lord and Saviour. Tumtegemee Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wetu. {Pastor P Chuwa}
Matthew 6:19-21
24-06-2019
What are our priorities in life? Nini kipaombele cha maisha yako? {Pastor P Chuwa}
Proverbs 18:1 (Methali 18:1)
22-06-2019
Let us be peace makers. Tuwe watu wa kuleta amani. {Pastor P Chuwa}
Genesis 45:21-24 (Mwanzo 45:21-24)
21-06-2019
Let us do our best to be peacemakers. Tujitahidi zaidi kuwa mpatanishi. {Pastor P Chuwa}
2 Corinthians 6:1-10
20-06-2019
Trust in Jesus as your Lord and Saviour and ask the Holy Spirit to guide and strengthen you. Mwanini Yesu kuwa Bwana na Mokozi wako, na omba Roho Mtakatifu aendelee kukutia nguvu. {Pastor P Chuwa}
Exodus 33:12-17 (Kutoka 33:12-17)
18-06-2019
The Holy Spirit will lead and guide us if we listen to Him. Tukimtii Roho Mtakatifu atatusaidia na kutuongoza katika maisha yetu. {Pastor P Chuwa}
1 Corinthians 14:26-33 (Korintho 14:26-33)
15-06-2019
Worship the Lord in Spirit and Truth. Mwabudu Mungu katika Roho na kweli. {Pastor P Chuwa}
1 Corinthians 14:1-5 (1 Korintho 14:1-5)
14-06-2019
Pray that God would give you wisdom to teach others His word. Omba Mungu akupe hekima kufundisha watu wengine. {Pastor P Chuwa}
John 7:37-9 (Yohana 7:37-9)
13-06-2019
Thank God for the Holy Spirit and allow your life to be guided by Him. Tumshukuru Mungu kwa Roho Mtakatifu aliye ndani yetu na tukubali kuongozwa naye. {Pastor P Chuwa}

Pages