Matangazo ya Usharika tarehe 26 Juni 2022

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 26 JUNI, 2022

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

WITO WA KUINGIA UFALME WA MUNGU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia na vyeti. 

3. Matoleo ya Tarehe 19/06/2022

4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Namba ya Wakala M-PESA – 5795794 – KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL

Matangazo ya Usharika tarehe 19 Juni 2022

MATANGAZO YA USHARIKA

LEO TAREHE 19 JUNI, 2022

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

MSIGOMBANE NJIANI

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia na vyeti.

3. Matoleo ya Tarehe 12/06/2022

4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Namba ya Wakala M-PESA – 5795794 – KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL

Matangazo ya Usharika tarehe 12 Juni 2022

MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 12 JUNI, 2022

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

UTATU MTAKATIFU MUNGU MMOJA; BABA, MWANA, NA ROHO MTAKATIFU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia na vyeti.

3. Matoleo ya Tarehe 05/06/2022

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT