Matangazo ya usharika tarehe 18 Septemba 2022

MATANGAZO YA USHARIKA

LEO TAREHE 18 SEPTEMBA, 2022

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

UWAKILI WETU KWA MUNGU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia na vyeti. Matoleo ya Tarehe 11/09/2022   

3. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Namba ya Wakala M-PESA – 5795794 – KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL