Matangazo ya Usharika tarehe 24 Julai 2022

MATANGAZO YA USHARIKA

LEO TAREHE 24 JULAI, 2022

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

AMRI MPYA NAWAPA, MPENDANE

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia na vyeti. Matoleo ya Tarehe 17/07/2022    

3. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT

Namba ya Wakala M-PESA – 5795794 – KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL

Matangazo ya Usharika tarehe 17 Julai 2022

MATANGAZO YA USHARIKA

LEO TAREHE 17 JULAI, 2022

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

TUNAITWA KUWA WANAFUNZI NA WAFUASI

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: wageni waliotufikia na vyeti ni (1) Angetile Mwakang’ata toka Kanisa la Moravian Tanzania Usharika wa Jacaranda Mbeya, anakuja kwenye matibabu.(2) Dorah Brown Chanafi toka Usharika wa Kunduchi anahamia hapa. Matoleo ya Tarehe 10/07/2022