John 12:44-50 (Yohana 12:44-50)
13-04-2019
Have you trusted in Jesus Christ as your Lord and Saviour? Umemwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi wako? {Pastor P Chuwa}
Leviticus 6:24-30 (Walawi 6:24-30)
12-04-2019
God help us to truly understand the meaning of Christ’s death and resurrection. Mungu atusaidie tuelewe zaidi kuhusu maana ya Kifo na kufuka kwa Yesu Kristo. {Pastor P Chuwa}
Numbers 21:4-9 (Hesabu 21:4-9)
11-04-2019
God is greater than all our problems. Mungu ni mkuu kuliko matatizo yetu yote {Pastor P Chuwa}
Mark 10:45
10-04-2019
Let us praise and worship God for our great salvation. Tumsifu Mungu kwa wokovu wetu. {Pastor P Chuwa}
Leviticus 16:29-34 (Walawi 16:29-34)
09-04-2019
We are reconciled with God through Jesus Christ. Tunapatanishwa na Mungu kwa njia ya Yesu Kristo. {Pastor P Chuwa}
Exodus 32:25-35 (Kutoka 32:25-35)
08-04-2019
Let us not take sin lightly. {Pastor Chuwa}
Psalm 57:1-5, Mark 10:45, Hebrews 9:11-15
07-04-2019
Jesus is the peace maker {Pastor P. Chuwa}
1 Kings 19:1-10 (1 Wafalme 19:1-10)
06-04-2019
In hard times look to God for comfort. Ukiwa na wakati mgumu, mtazame Mungu kwa faraja ya kweli.
Luke 22:14-20
05-04-2019
Jesus suffered and died on the cross for our sins. Yesu aliteswa na kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu. {Pastor P Chuwa}
Jeremiah 15:15-16
02-04-2019
Spend some time with God every day in prayer and Bible reading. Kuwa na muda wa faragha na Mungu kwa kusoma neno lake na kusali. {Pastor P Chuwa}

Pages