AZF Ibada ya Wazee 2023

Siku ya Jumamosi tarehe 1 Aprili 2023 imefanyika ibada ya wazee katika Usharika wa Kanisa Kuu Azana Front Cathedral, jijini Dar es Salaam. Ibada kama hii huwa inafanyika baada ya kipindi maalum ili kuwapa fursa wazee ambao mara nyingi hushindwa kufika kanisani kutokana na sababu mbalimbali hususani zinazotokana na umri wao kuwa mkubwa hushindwa kufika katika ibada za kawaida kanisani hapo kutokana na kuhitaji muda mwingi wa kupumuzika majumbani mwao.

AZF | Easter Greetings, April 2023

God’s Peace and grace be upon you all.


We wish you Easter blessings as you celebrate the greatness of the salvation that is God’s free gift to you through Jesus Christ.


“Blessed be the God and Father of our Lord Jesus Christ! By his great mercy we have been born anew to a living hope through the resurrection of Jesus Christ from the dead” (1 Peter 1:3).