Jumapili ya tarehe 12/10/2014, watoto wa Shule ya Jumapili ya Azania Front na waalimu wao waliaadhimisha sikukuu ya Mikaeli katika

ibada zote kwa nyimbo, ngonjera na kukariri mistari ya biblia. Walionyesha umahirina kujiamini katika yote walioonyeshambele ya

washarika. Aidha walikuwa na ujumbe uliogusa rika zote.

2014mikaeli 20

Watoto wakijiandaa kuingia kwenye ibada ya Sikukuu ya Mikaeli na watoto

2014mikaeli 19

2014mikaeli 07

Mwalimu Peter akiwaingiza watoto kwenye ibada

2014mikaeli 13

Watoto wakiimba na kucheza katika kusherekea sikukuu ya Mikaeli na watoto

2014mikaeli 14

Watoto wakiendelea kuimba wakiwa na mwalimu wao Josephine

2014mikaeli 15

2014mikaeli 16

Wakiimba kwa vitendo

2014mikaeli 17

Wakipokezana kusema mistari ya biblia waliyokariri

2014mikaeli 18

Wakiendelea kuimba

2014mikaeli 12

Hata wadogo wadogo walikuwepo pia bila woga

2014mikaeli 22

Watoto wakitoa ujumbe wa neno la Mungu kwa njia ya Ngonjera

2014mikaeli 24

Ngonjera zikiiendelea

2014mikaeli 22

2014mikaeli 08

Steen Mwakilasa, Mwalimu wa muziki wa watoto

2014mikaeli 09

Mwenyekiti wa kamati ya malezi mzee E. Mlaki, akitoa salaam za Sikukuu ya Mikaeli na Watoto

2014mikaeli 10

Mch. Manford na mtoto aliyeoongoza liturgia wakipokea sadaka.

2014mikaeli 11

Baadhi ya waalimu wa shule ya jumapili

2014mikaeli 05

Mch. Manford akiwapongeza waalimu

2014mikaeli 01

Mch. Manford akisema jambo

2014mikaeli 06

Katikati ni Fedilia Urasa, Parish worker wa usharika

2014mikaeli 04

Mch. Manford akitoa mahubiri.

2014mikaeli 03

Mchungaji akitoa baraka za kufunga ibada ya Sikukuu ya Mikaeli na Watoto, Kushoto ni Mwl. Peter na Mwisho kulia ni Mwal. Jane Mhina

2014mikaeli 23

Watoto walioshiriki ibada ya Mikaeli na watoto wakiwa katika picha ya pamoja baada ya ibada.