
Jumapili ya tarehe 12/10/2014, watoto wa Shule ya Jumapili ya Azania Front na waalimu wao waliaadhimisha sikukuu ya Mikaeli katika
ibada zote kwa nyimbo, ngonjera na kukariri mistari ya biblia. Walionyesha umahirina kujiamini katika yote walioonyeshambele ya
washarika. Aidha walikuwa na ujumbe uliogusa rika zote.

Watoto wakijiandaa kuingia kwenye ibada ya Sikukuu ya Mikaeli na watoto


Mwalimu Peter akiwaingiza watoto kwenye ibada

Watoto wakiimba na kucheza katika kusherekea sikukuu ya Mikaeli na watoto

Watoto wakiendelea kuimba wakiwa na mwalimu wao Josephine


Wakiimba kwa vitendo

Wakipokezana kusema mistari ya biblia waliyokariri

Wakiendelea kuimba

Hata wadogo wadogo walikuwepo pia bila woga

Watoto wakitoa ujumbe wa neno la Mungu kwa njia ya Ngonjera

Ngonjera zikiiendelea


Steen Mwakilasa, Mwalimu wa muziki wa watoto

Mwenyekiti wa kamati ya malezi mzee E. Mlaki, akitoa salaam za Sikukuu ya Mikaeli na Watoto

Mch. Manford na mtoto aliyeoongoza liturgia wakipokea sadaka.

Baadhi ya waalimu wa shule ya jumapili

Mch. Manford akiwapongeza waalimu

Mch. Manford akisema jambo

Katikati ni Fedilia Urasa, Parish worker wa usharika

Mch. Manford akitoa mahubiri.

Mchungaji akitoa baraka za kufunga ibada ya Sikukuu ya Mikaeli na Watoto, Kushoto ni Mwl. Peter na Mwisho kulia ni Mwal. Jane Mhina

Watoto walioshiriki ibada ya Mikaeli na watoto wakiwa katika picha ya pamoja baada ya ibada.
