Matangazo ya Usharika tarehe 20 Februari 2022

 

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 20 FEBRUARI, 2022

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

NENO LA MUNGU LINA NGUVU NI UPANGA UKATAO KUWILI

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia na vyeti. 

3. Matoleo ya Tarehe 13/02/2022

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT