

Wakina mama wa Azania Front walioongoza ibada wakitoka ofisi ya usharika kuelekea ibadani

Wakina mama wakiingia ibadani

Wakina mama waliosema neno la siku wakiingia ibadani

Wakina mamawaliongoza ibada wakiingia ibadani

Parish woker Fedilia Urasa (mbele kulia) akiwaongoza wahubiri Doska Vuhahula na Gladness Maleko wakiingia ibadani

Doska Vuhahula akiongoza maombi

Doska akitoa matangazo

Kwaya ya kina mama wakiimba ibadani

Kwaya ya Upendo wakiimba Ibadani

Dada Gladness Maleko akihubiri

Mama Raheli Msuya akisoma neno

Mama Erica Malasusa akisoma neno

Wakina mama wakifuatilia maombi

Mwenyekiti wa kwaya ya Upendo na washirika wengine wakifuatilia ibada

Mchungaji mama Prudence Chuwa (Pili kushoto) akiwa na kwaya ya kinamama

Mchungaji Aston Kibona na washarika wengine wakifuatilia ibada

Wakina mama wakiwa ibadani

Dada Anna Fredrick akiigiza kama Yesu alivyowaosha miguu wanafunzi wake

Wakinamama walioigiza kuoshwa Miguu na Yesu wakisoma neno

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake akitoa Matangazo ya kuitimisha ibada
