2015ibada ya jma507

Wakina mama wa Azania Front walioongoza ibada wakitoka ofisi ya usharika kuelekea ibadani

2015ibada ya jma505

Wakina mama wakiingia ibadani

2015ibada ya jma503

Wakina mama waliosema neno la siku wakiingia ibadani

2015ibada ya jma502

Wakina mamawaliongoza ibada wakiingia ibadani

2015ibada ya jma520

Parish woker Fedilia Urasa (mbele kulia) akiwaongoza wahubiri Doska Vuhahula na Gladness Maleko wakiingia ibadani

2015ibada ya jma516

Doska Vuhahula akiongoza maombi

2015ibada ya jma517

Doska akitoa matangazo

2015ibada ya jma515

Kwaya ya kina mama wakiimba ibadani

2015ibada ya jma514

Kwaya ya Upendo wakiimba Ibadani

2015ibada ya jma518

Dada Gladness Maleko akihubiri

2015ibada ya jma512

Mama Raheli Msuya akisoma neno

2015ibada ya jma513

Mama Erica Malasusa akisoma neno

2015ibada ya jma506

Wakina mama wakifuatilia maombi

2015ibada ya jma509

Mwenyekiti wa kwaya ya Upendo na washirika wengine wakifuatilia ibada

2015ibada ya jma510

Mchungaji mama Prudence Chuwa (Pili kushoto) akiwa na kwaya ya kinamama

2015ibada ya jma511

Mchungaji Aston Kibona na washarika wengine wakifuatilia ibada

2015ibada ya jma504

Wakina mama wakiwa ibadani

2015ibada ya jma519

Dada Anna Fredrick akiigiza kama Yesu alivyowaosha miguu wanafunzi wake

2015ibada ya jma501

Wakinamama walioigiza kuoshwa Miguu na Yesu wakisoma neno

2015ibada ya jma508

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake akitoa Matangazo ya kuitimisha ibada