
KKKT KIPUNGUNI B

Tabu Nziku akitayarisha kufanya maombi kabla ya kwenda Usharika wa Kipunguni B.

Mchungaji mama Chuwa akiongoza sala kabla ya kwenda Kipunguni B

Wakina mama wakiwa wakiwa nje ya Kanisa tayari kwa safari ya Kipunguni B

Mch. Mama Chuwa akiongoza sala ndani ya basi kabla ya safari ya kipunguni kuanza
Furaha ya umoja Azania Front na Kipunguni B

Parish Worker Fedelia Urasa akisalimiana na wakinamama wenyeji wa tamasha wa usharika wa Kipunguni B

Katibu wa umoja wa wanawake wa Azania Front Mama Msangi akikaribishwa usharika wa Kipunguni B

Mchungaji Kimweri wa Usharika wa kipunguni B akifungua tamasha

Katibu wa Kwanya ya kinamama F.Bgoya akifuatilia tamasha

Kijana mwenye ulemavu wa macho akishiriki katika uimbaji katika tamasha la wanawake lililofanyika Usharika wa Kipunguni B

Kwanya ya kinamama iliyokuwa na waimbaji wawili wenye umri mkubwa zaidi

Kwaya ya KKKT Kigogo wakiimba

kwaya ya Kinyerezi wakiimba

Mch. Mama Chuwa akiongoza uimbaji katika tamasha

Mch. Mama Agness Mangala akitoa salamu za tamasha

Mchungaji Kimweri akimkaribisha mwenyekiti wa kamati ya malezi ya wanawake na watoto jimbo la kati

Parish worker wa Jimbo akisherehesha tamaha

Umati wa kimama waimbaji kutoka sharika mbalimbali za Jimbo la kati walioudhuri tamasha

Wakinamama kutoka usharika wa Ukonga wakiimba

Wakinamama kwaya ya Kipunguni wakiimba

Wakinamama wa Azania front wakishangilia wimbo wa ufufuo katika tamasha

Wakinamama wa Azania wakiendelea kuimba

Wakinamama wa Azania wakifuatilia Tamasha

Wakinamama waimbaji washarika mbalimbali wakisherekea tamasha

Baadhi ya wachungaji walioshiriki tamasha Usharika wa Kipunguni B
(Picha na Habari na Jane Mhina)
