Event Date: 
15-01-2015

Chaplain Mzinga alikutana na viongozi wa vikundi usharikani tarehe 15/01/2015, kujadili juu ya

kuboresha huduma ya kueneza Injili. Waliohudhuria ni Viongozi wa Agape Evangelical Singers,

Kwaya kuu, Kwaya ya Upendo, Tarumbeta,Kwaya ya kina mama, Umoja wa wanawake, Kwaya

ya vijana, Fellowship na mwenyekiti wa Kamati ya Uinjilisti.

kikao na viongozi wa vikundi2

kikao na viongozi wa vikundi1

kikao na viongozi wa vikundi3

kikao na viongozi wa vikundi4

kikao na viongozi wa vikundi5

kikao na viongozi wa vikundi6