
Hii ni desturi ya kina mama wa Jimbo la kati kila mwaka kukutana katika sharika fulani na kumwimbia Bwana.
Mwaka 2015 Wakina mama wa jimbo la kati, walikusanyika katika Tamasha la uimbaji lililofanyika usharika wa KKKT Mongolandege, kwa nia moja tu ya kumwinua Bwana kwa nyimbo, shangwe na vigelegele.
Hakika siku hiyo ilikuwa ya furaha kwa kila ambaye alikuwa maeneo ya Mongolandege, Roho mtakatifu alishuka mahali pale na watu walikolewa kwa nyimbo za kutoka katika kwaya za usharika mbalimbali hakika watu walimuona Bwana kwa uimbaji.
Tamasha hilo lilifunguliwa na Mchungaji Mamford Kijalo, pia Mchungaji Kijalo alitoa neno la ufunguzi ambalo lilikuwa linaezea kuhusu wito na utumishi wa kumwimbia Bwana, Alinukuu katika kitabu cha Kutoka 15:1 hadi 5.
Katika Tamasha hilo zilishiriki kwaya zaidi ya 25 kutoka katika sharika na mitaa kutoka jimbo la kati.

Baadhi ya kinamama wa kwaya ya kinamama katika picha ya pamoja baada ya Tamasha

Baadhi ya kwaya ya kinamama walioshiriki katika uimbaji

Baadhi ya wachungaji na wageni waalikwa washiki Tamasha

Baadhi ya wanakwaya walioshiriki katika tamasha la uimbaji

Kinamama wakiimba

Kinamama wakiimba wimbo wa kienyeji

Kwaya ya Kariakoo wakishiriki katika uimbaji

Mama Askofu Erica Malasusa (Kulia Mwisho) akiwa na viongozi wa umoja wa wanawake wa Azania Front

Mchungaji Kijalo akiwa na mfatiliuaji wa uimbaji katika tamasha

Mchungaji Kijalo akifungua tamasha

Moja wapo za kwaya zilizoshiriki Tamasha la uimbaji

Mwalimu Upendo akiimbisha kwaya

Mwenyekiti mama Kileo (Kushoto mwisho), mama Askofu mama Malasusa (Kati) wakifurahi baada ya uimbaji

Kulia ni Mwenyekiti wa malezi wa kinamama na watoto wa jimbo la kati

Parish worker Fedelia Urasa (wa pili kushoto) akiwa na wanakwaya wenzake katika picha ya pamoja

Uimbaji ukiendelea

Umati wa kinamama kutoka sharika mbalimbali walioshiki tamasha

Viongozi wa kwaya ya wanawake wakiwa na baadhi ya wanakwaya

Viongozi wa umoja wa wanawake Azania Front

Wakinamama katika picha ya ukumbusho baada ya tamasha la uimbaji kumalizika

Wakinamama katika uimbaji

Wakinamama kutoka kwaya mbalimbali za usharika wa Azania Front katika picha ya pamoja

Wakinamama wa Azania front wakiimba katika Tamasha

Wakinamama wa Azania Front wakiingia kuimba

Wakinamama wa Azania Front walioshiki uimbaji katika picha ya pamoja

Wakinamama wa kwaya kuu walioshiki katika uimbaji kwenye picha ya pamoja

Wakinamama wakisubiri uimbaji

Wakinamama wakitoka kwenye uimbaji
